Posts

Showing posts from April, 2016

JERA MIAKA 7 MPANDA KWA KUJIPATIA FEDHA KWA UDANYANYIFU

MAHAKAMA   ya mwanzo mjini Mpanda imemuhukumu mtu     mmoja kwenda jela miaka saba   kwa kukutwa na hatia ya kujipaia fedha kwa njia ya udanganyifu.

MKUU WA WILAYA YA MPANDA APOKEA MSAADA WA MADAWATI 100.

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Bw. Pazza Mwamlima amepokea madawati 100 yenye thamani ya Shilingi milioni saba na nusu ili kusaidia kutatua changamoto ya uhaba wa madawati kwa shule za Wilaya ya Mpanda.

HALMASHAURI KATAVI ZATAKIWA KUTENGA BAJETI KUSAIDIA KAYA MASKINI BIMA YA AFYA

MKUU wa mkoa wa Katavi Meja   Jeneral Mstaafu   Raphael Muhuga,amezitaka   Halmashauri zote za mkoa wa Katavi kutenga fungu katika bajeti zake na kuzilipia kaya maskini ili zinufaike na mfuko wa jamii CHF.

WAKULIMA CHAMA CHA USHIRIKA CHA MSINGI MPANDA KATI WAHAKIKISHIWA MALIPO YA MAUZO YA TUMBAKU ASILIMIA 100.

Na.Issack Gerald-Katavi Wakulima wa zao la tumbaku wa chama cha msingi cha ushirika Mpanda Kati Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,wamehakikishiwa kulipwa asilimia 100 ya uuzaji wa zao hilo, kwa msimu wa mauzo ya 2015/2016.

MGOGORO WA ARDHI MTAA WA NSEMULWA MANISPAA YA MPANDA WAENDELEA KUTOKOTA,WANANCHI WAMWANGUKIA MKUU WA WILAYA

Wakazi wa mtaa wa Nsemulwa Kata ya Nsemulwa Manispaa ya Mpanda,wamemwomba Mkuu wa Wilaya kumaliza tatizo la upimaji waardhi katika mtaa huo ambalo limedumu kwa kipindi kirefu bila kupatiwa ufumbuzi.

AFIKISHWA MAHAKAMANI MPANDA KWA MADAI YA KUUA BILA KUKUSUDIA

MTU Mmoja Mkazi wa Mji wa Zamani Katika Manispaa ya Mpanda amefikikishwa Katika Mahakama ya Wilaya ya Mpanda Mjini Mpanda kwa Kosa la Kuua bila Kukusudia.

UTEUZI MAKATIBU TAWALA WAPYA WA JPM HAWA HAPA,WA KATAVI YUPO PALEPALE

Image
UTEUZI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 25 Aprili, 2016 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa 25 ya Tanzania Bara. Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa kati ya Makatibu tawala hao 10 ni wapya, 2 wamebadilishiwa vituo vya kazi na 13 wamebakisha katika vituo vyao vya sasa.                                         

ZIMAMOTO NA UOKOAJI KATAVI WAELEZA MIKAKATI KUPAMBANA NA MAJANGA YA MOTO

Na.Issack Gerald-Katavi JESHI la zimamoto Mkoa wa Katavi limedhamilia kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusiana na kujiahadhari na majanga ya moto.

WANNE MBARONI KATAVI KWA KUMILIKI SILAHA SMG,MWENZAO AFA KWA RISASI KATIKA MAJIBIZANO NA POLISI.

Na.Issack Gerald-Katavi Jeshi la Polisi Mkoani Katavi linawashikilia watu wanne wakazi wa kata ya Mishamo Wilayani Mpanda wakituhumiwa kumiliki silaha kinyume na sheria.

WAENDESHA PIKIPIKI(BODABODA) WILAYANI MPANDA WAIOMBA SERIKALI KUWAFUNGIA MTAMBO WA KUKATIA LESENI.

WAENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda wilaya ya Mpanda mkoani Katavi   wameiomba serikali kuwafungia mtambo wa kukatia lesini.

RAIA WAPYA KATUMBA NA MISHAMO WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA VITENDO VYA UHARIFU.

Raia wapya waishio makazi mapya ya Katumba na Mishamo wametakiwa kutojihusisha na vitendo vya uharifu na badala yake wametakiwa kufuata sheria za nchi.

VIONGOZI SERIKALI ZA VIJIJI NA MITAA MANISPAA YA MPANDA KUANZA KULAMBA POSHO MWAKA WA FEDHA 2016/2017.

Mstahiki meya Manispaa ya Mpanda,Mh.Willium Philipo Mbogo ameliomba balaza la madiwani kuidhinisha mpango wa kuwapatia posho wenyeviti wa vijiji na mitaa kuanzia bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 unaotarajia kuanza mwezi Julai mwaka huu.

WITO WA MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA MPANDA KWA MADIWANI KUHUSU MADAWATI NA DOMPO LA KUTUPIA TAKA

Mh.Willium Philipo Mbogo   amewasisitiza madiwani kusimamia kwa dhati mchakato wa upatikanaji wa madawati   ili   ifikapo Mwezi Juni 2016   uwe umeamilika ili kutekeleza agizo la Rais John Pombe Magufuli kwa wakati mwafaka.

KILIO CHA WANANCHI WA MTAA WA KAMPUNI KUHUSU SHULE YA MSINGI NSAMBWE CHASIKIKA,WIKI IJAYO KUKABIDHIWA MIL.9 KUKAMILISHA UJENZI WA MADARASA.

Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,inatarajia kukabidhi shilingi milioni tisa kwa shule ya Msingi Nsambwe iliyopo kata ya Misunkumilo kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa madarasa mawili ya shule hiyo.

WATUMISHI HEWA MPAKA SASA MANISPAA YA MPANDA NI SIFURI PIA KUONGEZA MAGARI MAWILI KWA AJILI YA UZOAJI TAKA

Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda imesema mpaka sasa haina mtumishi hewa hata mmoja tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Dk.John Pombe Magufuli aziagize Halmshauri zote nchini kuhakiki watumishi hewa.

MKUU WA MKOA KATAVI ATANGAZA KIYAMA KWA MAJAMBAZI

Image
SERIKALI Mkoani Katavi imesema haitawavumilia watu au mtu atakayehusishwa na Uvunjaji wa amani ikiwemo kuteka magari Kama ilivyoripotiwa Kutokea hivi karibuni.                                                  

MWENYEKITI WA KIJIJI ALIA NA HUJUMA ZA DIWANI,MTENDAJI KUMZUSHIA KUSIMAMISHWA KAZI,YEYE ASEMA AMELETA MABADILIKO MAKUBWA,AJIVUNIA KUTAFUTA ENEO LA UJENZI WA SHULE.

MWENYEKITI wa kijiji cha Muungano Kata ya Ibindi amekanusha kauli iliyotolewa na Diwani Bw: Jastini Shinje   kuwa amesimamishwa na wananchi kuendelea na wadhifa wake katika kijiji hicho.

TAKUKURU YATOA TAKWIMU YA KESI NA MALALAMIKO ILIYOYAPOKEA MWEZI JANUARI HADI MACHI 2016,TAMISEMI WAIBUKA KIDEDEA

Image
Na.Issack Gerald-Katavi Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Katavi imesema kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Machi mwaka huu imepokea malalamiko 22   ya vitendo vya Rushwa.                         

MGANGA MKUU HOSPITALI YA WILAYA YA MPANDA AKANUSHA WAGONJWA NA WAJAWAZITO KULAZIMISHWA KUPIMWA VVU BILA HIARI.

Na.Issack Gerald-Mpanda HOSPITALI YA WILAYA Mganga mkuu Hospitali ya Wilaya ya MpandaDk.Naibu Mkongwa,amekanusha taarifazilizosambaa kuwa wanawalazimisha wagonjwa kupima Virusi vya Ukimwi wanapokuwa wamefika hospitalini hapo kutibiwa.

MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO MTEGONI,APEWA SIKU SABA KUCHUNGUZA MHANDISI MWENYE DHARAU NA JEURI KWA VIONGOZJI WA SERIKALINI NA UBINAFISI WA MATUMIZI YA GARI,UHAKIKI WATUMISHI HEWA NALO LAENDELEA KUMTESA MKURUGENZI

Na.Issack Gerald-Nsimbo Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bw.michael zyungu amepewa siku 7 kuchunguza kazi ya mhandisi aliyetajwa kwa jina mojala Mh. Mbotu anayetuhumiwa kudharau na kuonesha jeuri kwa viongozi wa ngazi za juu serikalini pamoja na ubinafsi katika kutumia mali za Halmashauri likiwemo gari la halmashauri hiyo.

SILAHA 11 KATAVI ZASALIMISHWA WAKATI WA ZOEZI LA UHAKIKI,ZAIDI YA ASILIMIA 60 HAZIJAHAKIKIWA

Na.Issack Gerald-Katavi Jumla ya silaha 11 kati ya 193 zinazomilikiwa kisheria Mkoani Katavi zimesalimishwa huku silaha 76 kati ya hizo 193 zikiwa zimehakikiwa kuanzia Machi 21 hadi Aprili mwaka huu.

WAFANYABIASHARA WAIOMBA SERIKALI KUPANGA KODI NA FAINI INAYOENDANA NA BIASHARA ZAO

Wafanyabiasha wa mazao ya chakula   Mkoani Katavi wameiomba serikali kupanga kodi na faini kulingana na biashara   zao .

RAIS MAGUFULI A ATENGUA UTEUZI WA NDERUMAKI

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali (TSN) Bw. Gabriel Nderumaki.                                  

WAFANYABIASHARA MPANDA WAPEWA SIKU 21 KUHAMA MAENEO YASIYO RASMI KIBIASHARA

MKUU wa wilaya ya Mpanda Mh Paza Mwalima ametoa siku 21 kwa wafanyabishara wote wanaofanya shughuli za kiabiashara katika maeneo yasiyo rasimi kuondoka malamoja.

MKUU WA WIALAYA YA MPANDA AAGIZA ARDHI YA HEKTA 45 ILIYOUZWA NA UONGOZI WA KIJIJI KINYUME CHA SHERIA KWA MWEKEZAJI KUREJESHWA KWA WANANCHI

KATIKA kutatua Migogoro ya aridhi nchini Serikali Wilayani Mpanda imeagiza kurejeshwa kwa wananchi Mara Moja kwa eneo la hekta 45 liliuzwa kinyume cha taratibu kwa mwekezaji Katika Kijiji cha Magamba.

MAHAKAMA YA WILAYA YA MPANDA YAFUTA HATI YA MASHTAKA YA WATU WAWLI KATI YA WATATU WALIOKUWA WAKITUHUMIWA KUIBA PIKIPIKI YENYE THAMANI YA SH.MIL.1.8

MAHAKAMA ya mwanzo mjini mpanda imefuta hati ya mashta ya watu wawili kati ya watatu waliokuwa wanakabiliwa na tuhuma za wizi wa pikipiki yenye thamani ya shingi milioni moja na laki nane.

KUMBUKUMBU YA MIAKA 32 KIFO CHA HAYATI EDWARD SOKOINE

Image
Edward Moringe Sokoine ( 1938 - 12 Aprili 1984 ) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania .                                                                                                                            

JERA MWAKA MMOJA WILAYANI MPANDA KWA KUENDESHA UVUVI NDANI YA HIFADHI

Na.Vumilia Abel-Mpanda MAHAKAMA ya Wilaya Mjini Mpanda imemuhukumu mtu mmoja mkazi wa   Kakese kwenda jela mwaka mmoja   kwa makosa mawili likiwemo la kujishughulisha na uvuvu ndani ya hifadhi bila kibali.

KUPATIKANA KWA SHIVYAWATA KATAVI MKOMBOZI KWA WENYE ULEMAVU

Na.Issack Gerald-Katavi Kupatikana kwa uongozi wa Shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania SHIVYAWATA mkoani Katavi, kutaongeza nguvu katika kutetea haki na kutatua changamoto zinazowakabili watu wenye ulemavu Mkoani hapa.

MATUKIO MAKUU 11 YA WIKI YALIYOTOKEA NDANI NA NJE YA KATAVI APRILI 4-9,2016

Image
WAZIRI NAPE AFUTA KAREFA,AMWAGIZA KATIBU TAWALA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA VIONGOZI UPYA MPANDA-APRILI 04 WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amemuagiza katibu tawala wa mkoa wa Katavi Bw Paul Chagonja kufuta uongozi wa mpira wa miguu KAREFA na kusimamia zoezi la uchaguzi wa viongozi wapya baada ya kufuta uliokuwepo.

AJALI ZITOKANAZO NA VYOMBO VYA MOTO KATAVI ZAPUNGUA.

Na.Issack Gerald-Katavi KIKOSI cha usalama   barabani Mkoani katavi kimesema kimefanikiwa   kupunguza ajali za barabani kwa kutumia kifaa maalum cha kupima mwendo kasi.

RC KATAVI AFANYA ZIARA HOSPITALI YA WILAYA MPANDA,ASEMA SERIKALI IMETENGA BIL.2 KUTUMIKA UJENZI HOSPITALI YA MKOA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA WAGONJWA.

Na.Vumilia Abel-Katavi MKUU wa mkoa Meja Jeneral Raphael Muhuga amefanya ziara ya kuitembelea hospitali ya wilaya ya Mpanda kwa lengo la kutazama changamoto zinazoikabili hospitali hiyo.

WAZIRI NAPE AFUTA KAREFA,AMWAGIZA KATIBU TAWALA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA VIONGOZI UPYA

Na.Issack Gerald-Katavi WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amemuagiza katibu tawala wa mkoa wa Katavi Bw Paul Chagonja kufuta uongozi wa mpira wa miguu KAREFA na kusimamia zoezi la uchaguzi wa viongozi wapya baada ya kufuta uliokuwepo.

MTOTO MWENYE ULEMAVU WA VIUNGO ATUNZWA NDANI YA NYUMBA MIAKA MIWILI BILA HATA YA KUPATA MAHITAJI YA MSINGI

Na.Issack Gerald-Katavi Taarifa iliyopatikana Aprili mosi mwaka huu ni yan mtoto mmoja   mwenye ulemavu wa viungo   katika manispaa ya Mpanda mkoani katavi ambaye amekuwa akifungiwa ndani kwa muda wa miaka miwili na kukosa haki zake za msingi kama elimu wakati mwingine hata chakula.

RIPOTI WATUMISHI HEWA-BAADHI YA WAKAZI KATAVI WALONGA

Baadhi ya wakazi katika Mkoa wa Katavi wameeleza tukio la uhakiki wa watumishi hewa kuwa suala kubwa ambalo limefanywa na Magufuli licha ya kuwa yapo mengi ambayo ameyafanya na kusema kuwa ni suala ambalo watanzania hawatalisahau kutokana na nguvu ya kauli ya Rais John Pombe Magufuli.