Posts

Showing posts from August 15, 2016

HALMSHAURI ZA WILAYA YA MPANDA NA TANGANYIKA ZATAKIWA KUTENGA 5% YA MAPATO KWA AJILI YA WAJASILIMALI VIJANA

Image
Na.Richard Mbeho-Mpanda HALMASHAURI ya Wilaya ya Mpanda na Tanganyika zimetakiwa   kutenga asilimia 5 za mapato ya ndani kwa ajili ya kuwasaidia vijana kuanzisha miradi mbalimbali itakayo wawezesha kujikwamua kiuchumi. Baadhi ya vijana Wilaya za Tanganyika na Mpanda wakiwa kati mikutano ya hadhara(PICHA NA.Issack Gerald)                                                         

WAJASILIMALI KATAVI WATAKIWA KUTUMIA ELIMU YA UJASILIMALI WANAYOPATA KUFANYA SHUGHULI ZA MAENDELEO KUJIKWAMUA KIMAISHA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Mpanda WAJASILIAMALI wametakiwa kutumia elimu ya ujasiliamali wanayopewa katika mafunzo ili kujikwamua kimaisha. Wajasilimali wanawake baada ya somo la mafunzo ya ujasiliamali(PICH ANA.Issack Gerald)                                               

WANNE MBARONI KWA UUZAJI WA GONGO NA BANGI KATAVI

WATU wanne mkoani Katavi wamekamatwa kwa makosa tofauti likiwemo la uuzaji wa Gongo   na debe moja la Bangi.