Posts

Showing posts from March 18, 2016

DIWANI AWAMWAGIA SIFA WANANCHI WAKE USHIRIKI WA SHGHULI ZA MAENDELEO.

Na.Alinanuswe Edward WAKAZI wakata ya makanyagio manispaa ya Mpanda wameonyesha mwamko wa ushiriki katika shughuri za maendeleo kupitia utekelezaji wa mpango wa elimu bure.

DAKTARI ANAYETUHUMIWA KUSABABISHA KIFO CHA MWANANCHI KATAVI KWA KUTOMHUDUMIA AJIFUNGUA MTOTO.

DAKTARI wa zahanati ya Kapalamsenga wilayani Mpanda, anayetuhumiwa na wakazi wa kijiji hicho kusababisha kifo cha   Bi.Ana Kilangi (49) kwa kugoma kumhudumia, amejifungua salama.

WIKI YA MAJI KATAVI,WANANCHI WATAKA MAADHIMISHO YATUMIKE KUWALETEA MAJI SAFI NA SALAMA.

Na.Issack Gerald-Katavi BAADHI ya Wakazi wa Manispaa ya Mpanda wameiomba Serikali kutatua changamoto ya maji inayowakabili katika maeneo yao.