Posts

Showing posts from August 9, 2017

MGOMO WA SIKU 2 WA WAENDSHA BAJAJI MANISPAA YA MPANDA MKOANI KATAVI WASITISHWAAgosti 9,2017

WAENDESHA pikipiki za tairi tatu maarufu kama bajaji manispaa ya Mpanda Mkoani,wameruhusiwa kusafirisha abiria bila mipaka kwa kupita katika barabara walizokuwa wamezuiliwa ambapo barabara hizo ni pamoja na barabara ya Mpanda-Kigoma,Mpanda Sumbawanga na Mpanda Nsimbo.