Posts

Showing posts from November 23, 2015

WAKAZI MANISPAA YA MPANDA WALIA NA UKOSEFU WA MAJI SAFI NA SALAMA

Na.Issack Gerald-MPANDA Wakazi wa kata ya Makanyagio katika Manispaa ya   Mpanda Mkoani katavi wameiomba mamlaka ya maji safi na salama Manispaa ya Mpanda kutafuta ufumbuzi wa kuondoa kero ya kukosekana kwa maji safi na salama kwa wananchi hao.

WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WAANZA MTIHANI WA MOCK KIKANDA

Na.Issack Gerald-MPANDA WANAFUNZI wa kidato cha sita katika Manispaa ya Mpanda wameanza kufanya mtihani wa mock.

VIONGOZI NGAZI YA CHINI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA MASLAHI YA UMMA

Na.Issack Gerald-NSIMBO VIONGOZI wa ngazi ya chini wametakiwa kufanya kazi kwa maslahi ya umma ili kuendana na Kasi ya Rais Dr Jonh Pombe Magufuli.