Posts

Showing posts from February 28, 2016

SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 1.6 VYUO VYA UALIMU

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga kiasi cha sh. bilioni 1.65/- kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo kwenye vyuo vya walimu hapa nchini.