Posts

Showing posts from June 22, 2016

MKOA WA KATAVI WAREJESHA MIL.56 ZA WATUMISHI HEWA

Mkoa wa Katavi umefanikiwa Kurejesha fedha za watumishi hewa kwa asilimia 23.34 ambapo ni   kiasi cha zaidi ya shilingi   milioni 56   kati ya   milioni   zaidi ya 240 zimelipwa kama mishahara hewa.