Posts

Showing posts from October 13, 2016

MANISPAA YA MPANDA BADO IMESHINDWA KULIPA SHILINGI MILIONI 321 KWA WAZABUNI WALIOJENGA MAABARA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI ZA MANISPAA.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imesema bado haina uwezo wa kulipa Shilingi Milioni 321 inayodaiwa za wazabuni waliojenga maabara katika Shule Mbalimbali za Manispaa ya Mpanda. Mkurugenzi Mtendaji Manispaa ya Mpanda Bw.Michael Francis Nzungu(PICHA NA.Issack Gerald)   Katika picha ni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi,Ofisi Za Hamlshauri ya Manispaa ya Mpanda na pia ndipo ulipoUkumbi  wa Mikutano wa Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda(PICHA NA.Issack Gerald)                                    

MKUU WA WILAYA MPANDA AWAAGIZA WATUMISHI WENYE VYETI BANDIA KUJIONDOA WENYEWE KABLA YA KUKAMATWA,MANISPAA YA MPANDA NAYO YAAGIZWA KUWA NA NIDHAMU YA MATUMIZI YA BAJETI YA FEDHA ZA MAENDELEO.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi MKUU wa Wilaya ya Mpanda Bi. Lilian Charles Matinga,amewaagiza watumishi wote wenye vyeti bandia Wilayani Mpanda kujiondoa wenyewe kwa hiari kabla ya kukamatwa na hatua kali kuchukuliwa dhidi yao. MKUU wa Wilaya ya Mpanda Bi.Lilian Charles Matinga(Asiyevaa wigi) Mh.Sebastian Mwakabafu Diwani wa kata ya uwanja wa ndege katika kikao akiuliza swali                                

MUWASA : WAKAZI MANISPAA YA MPANDA WANAKOSA MAJI KUTOKANA NA UPUNGUFU WA MAJI KUTOKA VYANZO VYA MAJI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi MAMLAKA ya maji safi na salama Manispaa ya Mpanda MUWASA Mkoani Katavi imesema kuwa,tatizo la upatikanaji wa maji lililopo kwa sasa kwa wakazi wa Manispaa ya Mpanda,linatokana na upungufu wa kina cha maji katika vyanzo vinavyotoa maji. Ikorongo Namba 2 chanzo cha Maji Manispaa ya Mpanda(PICHA NA.Issack Gerald)