Posts

Showing posts from November 25, 2015

WANNE MBARONI KATAVI AKIWEMO MWENYE NYARA ZA SERIKALI ZENYE THAMANI YA SHILINGI MIL.60

Na.Issack Gerald-MLELE Jeshi la Polisi Wilayani Mlele Mkoani Katavi kwa kushirikiana na askari wa Hifadhi ya Taifa ya wanyama Pori (TANAPA) ,linawashikilia watu wanne akiwemo mmoja ambaye amekamatwa na jino moja na mikia miwili ya Tembo vikiwa na thamani ya Shilingi milioni 60.

WANAFUNZI SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI KATAVI WATAKIWA KUEPUKA MAZINGIRA YA UKATIRI

Image
Na.Issack Gerald-MPANDA . WANAFUNZI wa Shule za Msingi na Sekondari Mkoani Katavi wametakiwa   kuepuka mazingira yanayopelekea   vitendo ya ukatili na unyanyasaji na   kuzingatia masomo.

WAKALA WA VIPIMO TANZANIA KUZINDUA MATUMIZI YA VIPIMO KESHO MKOANI KATAVI

Na.Issack Gerald-MPANDA Wakala wa vipimo Tanzania Kesho wanatarajia kuzindua na kukopesha mizani kwa wafanyabiashara wadogo Mkoani Katavi kwa ajili ya kuondokana na hasara zinazotokana na kuuza bidhaa mbalimbali pasipo kutumia vipimo halali.