Posts

Showing posts from July 14, 2015

WALIMU WAPYA MPANDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI,KUTOJIHUSISHA NA ANASA KAZINI

Image
Walimu wapya wakiwa katika warsha ya pamoja na maafisa elimu mjini Mpanda Na.Amosi Venance-Mpanda Katavi WALIMU wa sekondari wilayani Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuwa na maadili na kufuata weledi katika utendaji kazi ili kuboresha kiwango cha elimu mkoani Katavi.

ZAIDI YA MILIONI TANO ZATUMIKA KUNUNUA VIFAA MAABARA NSIMBO ,WAZAZI WATAKIWA KUTOWAZUIA WATOTO KUSOMA SAYANSI

Image
  Moja ya vyumba vya maabara Shule ya Sekondari Machimboni Na.Issack Gerald -Nsimbo Katavi Wazazi na walezi katika Halmshauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi   wametakiwa kutowazuia watoto wao kupata fursa ya elimu.

KATAVI YATANGAZA VITA DHIDI YA MAUAJI YA WATU WENYE UALBINO TENA

Image
Remi  Luchumi(30) mkazi wa Mwamachoma   Tarafa ya Mamba Wilaya ya Mlele akiwa hospitali ya Wilaya ya Mpanda baada ya kukatwa mkono mwezi juni mwaka huu Na.Issack Gerald-Katavi HALMASHAURI ya wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeweka mikakati ya kukomesha mauaji dhdi ya watu wenye albino.