Posts

Showing posts from November 11, 2015

ASKARI WA WANYAMAPORI KATAVI WALALAMIKIWA KWA UDHALILISHAJI WA RAIA NSIMBO

Na.Masoud Mmanywa-Nsimbo WAKAZI wa kijiji cha Mtisi Kata ya Stalike wilayani Nsimbo mkoani Katavi, wamewalalamikia askari wa Wanyamapori kwa kuwapiga na kuwajeruhi kwa madai ya kuwakuta wakilima katika eneo la hifadhi ya msitu.

MIL.80 ZATUMIKA KUSAIDIA KAYA 62 ZILIZOATHIRIWA NA MVUA,WAFANYABIASHARA NAO KUFANYIWA TATHMINI

Na.Issack Gerald-SUMBAWANGA Zaidi ya Shilingi Milioni 80 zimetumika kuwasaidia wahanga wa mvua iliyombatana na upepo Mkali Oktoba mosi mwaka huu.

WAFANYABIASHARA,WANUNUZI WAILALAMIKIA SERIKALI KUPANDISHA BEI YA BIDHAA

Na.Issack Gerald-MPANDA BAADHI ya Wanunuzi na wafanyabiashara wadogo wadogo wilayani Mpanda mkoani Katavi wameilalamikia serikali kutokana na kupandisha bei za bidhaa nchini kiasi kinachowafanya washindwe kuyamudu maisha yao.