Posts

Showing posts from October 15, 2016

JIMBO LA MPANDA MJINI LAPATA MGAO WA MADAWATI 537 KUTOKA MFUKO WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda JIMBO la Mpanda mjini Mkoani Katavi limepatiwa mgao wa madawati 537 kutoka mfuko wa ofisi ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.