Posts

Showing posts from July 28, 2017

RUSHWA YA SHILINGI ELFU 15,YASABABISHA MUUGUZI WA HOSPITALI KUSIMAMISHWA KAZI-Julai 28,2017

Image
Mkuu wa Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, Rehema Madusa, amemsimamisha kazi mtumishi wa Hospitali ya Wilaya kwa tuhuma za kudai na kupokea rushwa ya Sh. 15,000 kutoka kwa mzazi ili amtibu mtoto wake.

PROFESA LIPUMBA ASHTAKIWA NA WABUNGE ALIOWATIMUA-Julai 28,2017

Image
Prof.Ibrahim Lipumba Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Prof. Lipumba  Siku chache baada ya kuwavua uanachama Wabunge wanane wa Viti Maalum kisha Spika Ndugai kuridhia uamuzi huo,jana July 27, 2017 Wabunge hao wamefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania.

WATANZANIA 96 WAFADHILIWA KIMASOMO NA NCHI YA UHOLANZI-Julai 28,2017

Kwa mwaka 2017/18 Watanzania 96 wamepata nafasi za kusoma katika Vyuo vyenye ubora wa juu nchini Uholanzi ambapo nafasi 54 kati ya hizo ni kwa ngazi ya Shahada ya uzamili na 42 watasoma kozi fupi inchini humo.

WAJUMBE KAMATI YA MAADILI KUTOKA NCHINI MALAWI WAITEMBELEA TANZANIA-Julai 28,2017

Image
Wajumbe wa Kamati ya Maadili kutoka Malawi wameitembelea Tanzania kwa lengo la kujifunza utendaji kazi wa maeneo tofauti ikiwemo utendaji katika Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,hususan katika eneo  la utoaji huduma kwa Umma katika kupambana na Rushwa na uadilifu wa Utumishi.

WA CCM AMBWAGA WA CHADEMA UCHAGUZI NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA MPANDA,KAMATI ZA KUDUMU NAZO ZAPATA WENYEVITI WAKE-Julai 27,2017

HALMASHAURI ya Wilaya ya Mpanda Wilayani Tanganyika Mkoa Katavi,imemchagua Mh.Theodola Romwad Kisesa wa chama cha Mapinduzi CCM kuwa makamu mwenyekiti wa Halmashauri hiyo baada ya kuchaguliwa kwa kura 17 dhidi ya kura 4 za Mh.Issack Lusambo wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema.