Posts

Showing posts from July 28, 2015

JARIBIO LA KUUA KWA IMANI ZA USHIRIKINA WATU SITA WASHIKILIWA

 Na.Issack Gerald-Katavi Watu sita wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Katavi kwa tuhuma za kutaka kuvamia na kufanya mauaji ya watu wanaodhaniwa kuwa ni wachawi.