Posts

Showing posts from February 20, 2016

HABARI PICHA WIKI HII KUHUSU KIKAO CHA KUPITISHA MPANGO WA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 WILAYANI MPANDA-PICHA ZOTE NA P5 TANZANIA MEDIA

Image
Kutoka kulia ni Mkurugenzi Mtendaji Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda Bw.Estomihn Chang'a,wa pili ni Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Pazza Tusamale Mwamlima,wa tatu ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda na diwani wa kata ya Mpanda Ndogo  Hamadi Mpaengo na wa nne ni Msitahiki Meya Manispaa ya Mpanda na Diwani wa Kata ya Majengo Mh.Willium Philipo Mbogo wakiwa katika kikao cha kupitisha mpango wa bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 kilichofanyika Februari 16 katika ukumbi wa idara ya maji Mjini Mpanda. Mwenyekiti wa Kikao hicho alikuwa mkuu wa Wilaya (PICHA NA Issack Gerald) Wajumbe katika kikao cha kupitisha mpango wa bajeti mwaka wa fedha 2016/2017 kilichofanyika Februari 16,2016 Katika ukumbi wa idara ya maji Mjini Mpanda (PICHA NA Issack Gerald) Wajumbe katika kikao cha kupitisha mpango wa bajeti mwaka wa fedha 2016/2017 kilichofanyika Februari 16,2016 Katika ukumbi wa idara ya maji Mjini Mpanda (PICHA NA Issack Gerald) Wajumbe katika kikao cha kupitisha mpang

MATUKIO YA WIKI NDANI NA NJE YA KATAVI KUANZIA FEBRUARI 15—20,2016.

Image
MATUKIO YA WIKI NDANI NA NJE YA KATAVI KUANZIA FEBRUARI 15—20,2016. Wednesday, 17 February 2016 MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI MKOA WA KATAVI AFIKISHWA MAHAKAMANI AKITUHUMIWA KUMTOROSHA ALIYETAKA KUMUUA KWA KUKATA KIGANJA CHA MKONO MLEMAVU WA NGOZI ALBINO,WAMO PIA ASKARI MAGEREZA WAWILI WILAYANI MPANDA NA WALIOKUWA WAKITOROSHWA WADAKWA TENA. Posted By: Issack Gerald | At: Wednesday, February 17, 2016