Posts

Showing posts from November 10, 2015

WAKULIMA WAOMBA PEMBEJEO ZA KILIMO ZILETWE MAPEMA

Na. Lutakilwa Lutobeka - MPANDA Kucheleweshwa kwa pembejeo kwa wakulima imeelezwa kuwa ni sababu inayozorotesha sekta ya kilimo wilayani Mpanda, mkoani Katavi.

RUKWA WAJIPANGA KUHIFADHI MAZINGIRA

NA.Issack Gerald-SUMBAWANGA Mkoa wa Rukwa Umepanga kupanda miti milioni Tano na laki tano katika Halmshauri zake kwa mwaka wa 2015/2016 lengo likiwa ni kuhifadhi mazingira.