Na.Issack Gerald-Mpanda Wazazi wa wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Msingi Sambwe iliyopo mtaa wa Kampuni Kata ya Misunkumilo Manispaa ya Mpanda,wameiomba serikali kuwasaidia kumalizia ujenzi wa madarasa katika shule hiyo ili wanafunzi hao waondokane na adhaa ya kunyeshewa na mvua inayoambatana na radi wakiwa chini ya miembe. Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Sambwe wanavyoonekana katika picha katika madarsa yaliyokuwa yakitumika mwezi septemba mwaka jana ambao hata hivyo miti hiyo unayoiona hakuna mti hata mmoja wanasomea chini ya mwembe Moja ya mwembe unaotumiwa na wanafunzi kama darasa ukitumika kama ukumbi wa mikutano ya wazazi Shule ya msingi Sambwe