Posts

Showing posts from July 23, 2016

CCM ANAYOKABIDHIWA MAGUFULI ILIANZA HIVI

Image
LEO Julai 23,Rais wa awamu ya Tano wa Tanzania Rais Dkt.John Pombe Magufuli anatarajia kupokea uenyekiti wa kukiongoza Chama cha Mapinduzi CCM)

HABARI WIKI HII KUTOKA IKULU YA RAIS

1.AGIZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza viongozi wa Jeshi la Polisi Tanzania kuwaondoa watumishi wote wasiokuwa askari polisi na ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya ukiukwaji wa taratibu na ufujaji wa fedha za umma ili kulinda heshima, nidhamu na uadilifu ndani ya jeshi hilo.