Posts

Showing posts from October, 2015

WAOMBA KIKAO CHA AMANI KATAVI

Image
  Picha ya pamoja kati ya wazee maarufu,viongozi wa kisiasa,dini na wafanyabisahara na Kamanda wa Polisi Mkoa ni Katavi Dhahirii Kidavashari mara baada ya kujadili mikakati ya kuimarisha amani na uasalama katika mkoa wa Katavi kuelekea uchaguzi Na.Issack Gerald-KATAVI Mkuu wa   Mkoani Katavi ameombwa kuitisha kikao maalumu kinachojumuisha tume ya taifa ya uchaguzi,wanasiasa na wazee maarufu Mkoani Katavi   ili kujadili namna ya kukabiliana na viashiria mbalimbali vya uvunjifu wa amani vinavyojitkeza kwa sasa kuelekea uchaguzi Oktoba 25 mwaka huu.

SIKU YA MWALIMU YAZUNGUMZWA NA CWT KATAVI

NA.Issack Gerald-MPANDA Chama cha walimu CWT Mkoa wa Katavi kimesema kimefanikiwa katika masuala mbalimbali yakiwemo udhibiti wa wizi wa mishahara ya walimu,ujenzi wa benki ya mwamili tangu kuanzishwa kwake.

WAKAZI WILAYA MPYA YA TANGANYIKA WAOMBA HUDUMA ZA JAMII

Image
  Wakazi Wilaya mpya ya Tanganyika wakizungumza na P5 TANZANIA Wilayani hapo NA.Issack Gerald-TANGANYIKA Wakazi katika Wilaya Mpya ya Tanganyika Mkoani Katavi wameiomba serikali ya Mkoa wa Katavi kuongeza huduma mbalimbali za kijamii zikiwemo afya na Ofisi za Watumishi wa Umma   katika kata ili kuondokana na adha ya kupata huduma umbali mrefu.

BAADHI YA VIFAA VYA KUPIGIA KURA VYAWASILI MANISPAA YA MPANDA

Na.Issack Gerald-MPANDA. Manisapaa yaMpanda Mkoani katavi imepokea baadhi ya vifaa ambavyo vitatumika katika upigaji kura Oktoba 25 mwaka huu.

TUME YA UCHAGUZI MANISPAA YA MPANDA YAONYA WATAKAOBAINIKA KUANDIKA MAJINA YA WATU NA KITAMBULISHO CHA MPIGA KURA KINYUME CHA SHERIA

Na.Issack Gerald-MPANDA Tume ya taifa ya uchaguzi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imewataka watu wanaojipitisha katika mitaa mbalimbali ya Manispaa hiyo kuorodhesha majina na namba za kitambulisho cha Mpiga kura kuacha tabia hiyo kabla ya hatua za kisheria kuchukuliwa dhidi yao.

USHIRIKIANO KATI YA RAIA NA POLISI WAPUNGUZA UHARIFU WILAYA YA MLELE

Na.Issack Gerald- Mlele Mafanikio ya kupungua kwa uharifu katika kata zilizopo Wilayani Mlele Mkoani Katavi kumetokana na ushirikiano kati ya Jeshi la Polisi na   jamii inayoishi katika kata hizo.