Posts

Showing posts from December 19, 2015

KIPINDUPINDU KATA YA KAWAJENSE KAMA CHOO HAITAJENGWA

Na.Agness Mnubi-MPANDA WAFANYABIASHARA wa soko la Majengo mapya kata ya Kawajense Manispaa ya Mpanda wanakabilwa na ukosefu wa huduma ya choo sokoni hapo, hali inayoweza kusababisha magonjwa ya mlipuko kama vile kipindupindu.

WATAHINIWA 5422 KATI YA 6378 DARASA LA SABA WAFAULU KUJIUNGA NA MASOMO YA SEKONDARI KATAVI 2016

MPANDA-Na.Meshack Ngumba JUMLA ya Watahiniwa 5,422 Kati ya watahiniwa 6,378 waliofanya mtihani wa kuhitimu elimu ya Msingi Mkoani Katavi wamefaulu Kujiunga na Kidato cha Kwanza Kwa Mwaka 2016.