Posts

Showing posts from May 18, 2016

MBUNGE JIMBO LA MPANDA VIJIJINI ALINDIMA BUNGENI DODOMA KUTETEA VITUO VYA AFYA JIMBONI KWAKE

VITUO vya afya vya Mwese,Karema na Mishamo Wilayani Mpanda Vinakabiliwa na ukosefu wa wataalaamu wa afya na gari la wagonjwa-leo Mbunge Jimbo la Mpanda Vijijini Mh.Suleiman Kakoso alindima bungeni kutetea vituo hivyo.