Posts

Showing posts from August 4, 2016

MGOGORO WA ARDHI KIJIJI CHA TUMAINI WILAYANI MPANDA WATOKOTA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Mpanda Serikali ya kijiji cha Tumaini Halmshauri ya Wilaya ya Nsimbo Wilayani Mpanda mkoani Katavi,imewalalamikia watu wanaowatishia maisha kwa madai kuwa kijiji hicho kinataka kuwanyang’anya ardhi yao. Viongozi wa serikali ya kijiji cha Tumaini katika picha ya pamoja,wa tatu kutoka kushoto ni mwenyekiti wa kijiji Bw.Billu Bukwaya na wakwanza kutoka kushoto(mwenye shati nyeupe) ni  mwenyekiti wa kitongoji cha Tulieni na wengine waliobaki ni wajumbe wa kamati ya ardhi ya Kijiji cha Tumaini(PICHA NA.Issack Gerald)

WALIMU MKOANI KATAVI WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UTAPELI UNAOWAANDAMA,WALIMU WASTAAFU WAPEWA MSAADA WA MABATI 120

Na.Judica Schone-Mpanda WALIMU mkoani Katavi wametakiwa kuepuka kutapeliwa na watu   wanaowalaghai pindi wanapopata mafao yao.

KIJIJI CHA MAJALILA SASA MAKAO MAKUU RASMI YA HALMASHAURI YA WILAYA MPYA YA TANGANYIKA

Na.Issack Gerald Bathromeo-Tanganyika Kijiji cha Majalila kilichopo kata ya Tongwe Halmshauri Mpya ya Tanganyika Mkoani Katavi, kimetangazwa Rasmi kuwa Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika.