Posts

Showing posts from April 23, 2016

WAENDESHA PIKIPIKI(BODABODA) WILAYANI MPANDA WAIOMBA SERIKALI KUWAFUNGIA MTAMBO WA KUKATIA LESENI.

WAENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda wilaya ya Mpanda mkoani Katavi   wameiomba serikali kuwafungia mtambo wa kukatia lesini.

RAIA WAPYA KATUMBA NA MISHAMO WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA VITENDO VYA UHARIFU.

Raia wapya waishio makazi mapya ya Katumba na Mishamo wametakiwa kutojihusisha na vitendo vya uharifu na badala yake wametakiwa kufuata sheria za nchi.