Posts

Showing posts from December 28, 2015

BAADHI YA WAMILIKI WA VITUO TIBA ASILIA NA TIBA MBADALA MPANDA WAZUNGUMZIA ZUIO LA SERIKALI KUWEKA MATANGAZO REDIONI

Image
Na.Issack Gerald-MPANDA Baadhi ya wamiliki wa vituo vya tiba asilia na Tiba Mbadala Wilayani Mpanda Mkoani Katavi wamesema kuwa Serikali Ya Tanzania haijakosea kusitisha utangazaji wa vituo hivyo katika vyombo vya habari kwa kuwa serikali imesimamia sheria za nchi.                                                       ALOVERA Miongoni mwa mimea inayotibu baadhi ya magonjwa