Posts

Showing posts from April 11, 2016

JERA MWAKA MMOJA WILAYANI MPANDA KWA KUENDESHA UVUVI NDANI YA HIFADHI

Na.Vumilia Abel-Mpanda MAHAKAMA ya Wilaya Mjini Mpanda imemuhukumu mtu mmoja mkazi wa   Kakese kwenda jela mwaka mmoja   kwa makosa mawili likiwemo la kujishughulisha na uvuvu ndani ya hifadhi bila kibali.

KUPATIKANA KWA SHIVYAWATA KATAVI MKOMBOZI KWA WENYE ULEMAVU

Na.Issack Gerald-Katavi Kupatikana kwa uongozi wa Shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania SHIVYAWATA mkoani Katavi, kutaongeza nguvu katika kutetea haki na kutatua changamoto zinazowakabili watu wenye ulemavu Mkoani hapa.