Posts

Showing posts from December 29, 2015

WANANCHI KATAVI WAPONGEZWA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI

Image
Na.Issack Gerald-MPANDA Kamanda wa Polisi Mkoani Katavi Dhahiri Kidavashari,ametoa pongezi kwa wananchi Mkoani Katavi,kwa kuendelea kudumisha amani katika msimu wa sikukuu za   Maulid na Krismasi.                                              Kamanda wa Polisi Mkoani Katavi-Dhahiri Kidavashari

ANASWA NA NYARA ZA SERIKALI 38 KATAVI BAADHI NI PUA YA NGURUWE PORI NA KINYESI CHA FISI KWA UNDANI ZAIDI HAPA HAPAP5 TANZANIA

Image
Na.Issack Gerald-MPANDA Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Vitusi Chomba(36) mkazi wa Kijiji cha Senkwa Wilayani Mlele Mkoa wa Katavi amekamatwa akiwa na nyara mbalimbali za serikali ikiwemo pua ya nguruwe pori.                                       Kamanda wa polisi Katavi-Dhahiri Kidavashari