Posts

Showing posts from October 5, 2017

JESHI LA POLISI MKOANI RUKWA WATAJA MAJINA YA WALIOKUFA KATIKA AJALI-Oktoba 5,2017

Image
Na.Issack Gerald-Sumbawanga JESHI la polisi mkoani Rukwa limetoa majina ya watu 15 waliofariki katika ajali ya Fuso lenye namba za usajili T425 BFF ili ndugu zao wakachukue miili ya marehemu kwaajili ya kwenda kufanya maziko.

RC MUHUGA AKABIDHA MAJIKO BANIFU KWA SHULE ZA SEKONDARI RUNGWA NA MPANDA GIRLS-Oktoba 5,2017

Image
Na.Issack Geral-Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi Meja Jenerali Mstaafu Raphael Muhuga,amekabidhi majiko banifu manne yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni nne kwa shule za sekondari Rungwa na Mpanda Girls.

DC MLELE AFUNGUA MAFUNZO YA UANDAAJI BAJETI KISASA-Oktoba,5,2017

Na.Issack Gerald-Mpanda Katavi MKUU wa Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi Recho Kasanda,leo amefungua mafunzo ya siku tano ya uandaaji bora wa bajeti unaojulikana kama PLANEP kwa wakuu wa idara katika Halmashauri hiyo pamoja na wafanyakazi waandamizi ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Mlele.

WALIMU WAKUU MKOANI TABORA WALALAMIKIA UFINYU BAJETI YA RUZUKU YA ELIMU BURE-Oktoba 5,2017

Na.Issack Gerald WAKUU wa shule wamelalamikia kutotosheleza kwa kiwango cha fedha ambacho kimekua kikitolewa na serikali kuu kwamba hakikidhi mahitaji na wameiomba serikali kuongeza kiwango cha fedha  ambazo zimekua zikitolewa kama ruzuku kwa ajili ya kusaidia wanafunzi mashuleni.

KAMATA KAMATA WASIOKUWA NA VYOO MKOANI MBEYA-Oktoba 5,2017

Na.Issack Gerald WANANCHI wa Halmashauri ya Busokelo Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wanakabiliwa na ukosefu wa vyoo bora.

CWT KATAVI WAICHARUKIA SERIKALI SUALA LA STAHIKI ZAO-Oktoba 5,2017

Na.Issack Geral-Katavi CHAMA cha walimu Tanzania CWT mkoani Katavi,kimeitaka serikali kulipa madeni pamoja na malimbikizo mbalimbali ya walimu.

FUSO YAUA 15 YAJERUHI 19 MKOANI RUKWA-Oktoba 5,2017

Na.Issack Gerald-Sumbawanga Watu 15 wamefariki dunia na wengine 19 kujeruhiwa kufuatia ajali ya gari la mizigo aina ya Fuso.