Posts

Showing posts from August 31, 2016

RPC KATAVI : JESHI LA POLISI LIMEJIANDAA KUWADHIBITI WAANDAMANAJI OPARESHENI UKUTA,VYAMA VILIVYOKUWA VIMEPANGA KUANDAMANA VYAAHIRISHA MAANDAMANO

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi JESHI la Polisi Mkoani Katavi lilikuwa limesema limefanya maandalizi ya kutosha kuwadhibiti watu,kikundi au vyama vya siasa ambavyo vingefanya maandamano kesho Septemba mosi. Viongozi wa upinzani wakati wa kikao na wanahabari Dar es Salaam ACP Damasi Nyanda Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Katavi(PICHA NA.Issack Gerald)Agosti 31,2016                                           

RPC NYANDA KATAVI LEO KUZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MAANDAMANO YA OPARESHENI UKUTA SEPTEMBA MOSI.

Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi KAMANDA wa Jeshi la Polisi Mkoani Katavi ASP Damasi Nyanda leo anatarajia kukutana na waandishi wa habari Mkoani Katavi kuzungumzia mandamano ya Opareshen Ukuta yanayoratibiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema.