Posts

Showing posts from July 23, 2015

SAKATA LA WATU KULA VYAKULA WAKIWA KWENYE VYANDARUA,MKURUGENZI MANISPAA YA MPANDA ANG'AKA WAKAZI KUTUPA TAKA SEHEMU ZILIZOZUIWA

Na.Issack Gerald-Katavi Mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda Suleiman Lukanga amesema eneo linalolalamikiwa na wakazi wa Mtaa wa Kashaulili kutumika kama Dampo la kutupa taka na kusababisha Nzi kuzagaa katika makazi yao lilishapigwa marufuku.

MWENYEKITI WA MTAA MANISPAA YA MPANDA AZUSHIWA KUJIDHURU,MTUHUMIWA AKANA KUHUSIKA

 NA.Issack Gerald-Katavi Mwenyekiti wa Mtaa wa Kachoma uliopo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi Mwarabu Kestokecha amewalalamimkia baadhi ya watu akiwemo aliyekuwa diwani wa kata ya Makanyagio katika Manispaa hiyo Iddi Nziguye kwa kusambaza taarifa za kupotosha wananchi kuwa amejiudhuru uenyekiti wa mtaa huo.