Posts

Showing posts from June 9, 2016

AHUKUMIWA JERA MIEZI 6 AU FAINI KWA SHAMBULIO LA KUTUMIA MWIKO

MAHAKAMA ya mwanzo mjini Mpanda imemuhukumu mtu mmoja mkazi wa Shanwe   kifungo   cha miezi 6 jera au kulipa faini   ya   shilingi laki mbili.

WAKAZI KATA YA KAZIMA WALALAMIKIA MANISPAA YA MPANDA KUTOPIMIWA VIWANJA VYAO KWA MIAKA 9 SASA

Wakazi wa kata ya kazima manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameulalamikia uongozi wa   halimashauri hiyo kushindwa kuwapimia viwanja takriban miaka tisa, hali iliyowalazimu baadhi yao kuanza ujenzi wa maeneo hayo bila kupimwa.

LATCU KATAVI WASHAURIWA KUWEKEZA UJENZI WA MAJENGO KUJIIMARISHA KIUCHUMI

MKUU wa mkoa wa Katavi meja generali mstaafu   Raphaeli Muhuga amesema chama kikuu cha ushirika cha   wakulima wa tumbaku LATCU   kinaweza kupata ufanisi zaidi kama kitaendeleza jitihada zake za kuwekeza katika ujenzi wa majengo kama vitega uchumi.