Posts

Showing posts from July 17, 2017

BODABODA KATAVI WAAGIZWA KUWAPA KOFIA NGUMU ABIRIA WAO-Julai 18,2017

Mkuu wa kitengo cha usalama barabarani mkoa wa Katavi John Mfinaga amewaagiza madereva piki piki maarufu kama boda boda kutii sheria ya matumizi ya kofia ngumu kwa abiria.

MADEREVA WA MAROLI MKOANI KATAVI WAGOMA KUONDOKA UWANJA WA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI MPANDA

MADEREVA  wanaoegesha magari katika uwanja wa shule ya msingi Mpanda iliyopo Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda wamegoma  kutii agizo la kuondoka katika eneo hilo.

WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KATAVI WASALIMU AMRI YA SERIKALI,WAKUBALI KUNUNUA MASHINE ZA EFDs-Julai 17,2017

Image
WAMILIKI wa vituo vitano vya mafuta ya Petrol,Dizel na Mafuta ya taa Mkoani Katavi,wametii agizo la serikali linalowataka kununua mashine za kielektroniks(EFDs).