Posts

Showing posts from August 3, 2015

JAMII KATAVI,KIGOMA YATAKIWA KUWA NA UTAWALA BORA MATUMIZI YA RASILIMALI

Na.Issack Gerald-Katavi Jamii katika mikoa ya Katavi na Kigoma imetakiwa kutumia sera ya utawala bora kutunza vyanzo vya rasilimali katika mazingira yanayoizunguka kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.