Posts

Showing posts from May 31, 2016

AHUKUMIWA JERA MIEZI 6 KWA KOSA LA WIZI MPANDA

Mahakama ya mwanzo mjini Mpanda imemhukumu mtu mmoja mkazi wa Nsemlwa kifungo cha miezi 6 jera au kulipa faini kiasi cha shilingi laki mbili na nusu   kwa kosa la wizi kinyume na kifungu cha sheria namba 265 sura 16 kanuni ya adhabu.

WAWILI WAFIKISHWA MAHAKAMANI MPANDA KWA TUHUMA ZA UBAKAJI

WATU wawili wakazi wa Makanyagio wamefikishwa katika mahakama ya wilaya   ya Mpanda   kwa kosa la ubakaji.