WAWILI WAFIKISHWA MAHAKAMANI MPANDA KWA TUHUMA ZA UBAKAJI



WATU wawili wakazi wa Makanyagio wamefikishwa katika mahakama ya wilaya  ya Mpanda  kwa kosa la ubakaji.

Akisoma shitaka hilo jana katika hatua ya ushahidi mwendesha mashtaka wa jeshi la polisi PC .Pelepetua mbele ya hakimu mfawidhi Mh.Chigangwa Tengwa  amewataja washitakiwa kuwa ni Peter Samson (32) na Dotto Peter(38)  wote wakazi wa Makanyagio Manispaa ya Mpanda .
Imedaiwa kuwa washitakiwa hao walitenda kosa hilo desemba 08, 2015   katika  nyumba ya kulala wageni maarufu kama  Visiwa Guest house.
Kufuatia hatua hiyo mahakama imeahirisha  shitaka hilo  hadi itakapo tajwa tena   juni  13 mwaka huu.
Mwandishi : Vumilia Abel
Mhariri :Issack Gerald Bathromeo
Endelea kuhabarika na P5TANZANIA.BLOGSPOT.COM

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA