Posts

Showing posts from February 23, 2016

MTOTO MWENYE MIAKA 4 ACHOMWA MOTO NA BABA YAKE MZAZI KWA TUHUMA YA KULA MBOGA YOTE AINA YA CHAINIZI,POLISI WAMTIA MBARONI KUFIKISHWA MAHAKAMANI MUDA WOWOTE.

Image
Na.Issack Gerald-Mpanda Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Emmanuel Joseph (31) mkazi wa Kata ya Kazima Wilayani Mpanda Mkoani Katavi anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Katavi kwa tuhuma za kumchoma kwa moto mtoto wake aitwaye George Emmanuel(04) akituhumiwa kula mboga aina ya Chainizi.                                                   Mtoto wa miaka 4 aliyechomwa  moto na baba yake baada ya kula mboga aina ya chainizi.(PICHA NA.Issack Gerald)

WATATU WAFIKISHWA MAHAKAMANI MPANDA KWA TUHUMA ZA SHAMBULIO.

Na.Gervas Boniventure-Mpanda WATU watatu wamefikishwa katika mahakama ya mwanzo   Mjini Mpanda Mkoani Katavi kwa kosa la kumshambulia Abdala hamissi kwa kumpiga na kumsababishia maumivu makali.

WANAFUNZI 523 KATI YA 930 WAFAULU MTIHANI MANISPAA YA MPANDA,130 MATOKEO YAO YAZUILIWA KWA KUSHINDWA KULIPA ADA

Image
Na.Vumilia Abel-Mpanda JUMLA ya wanafunzi 523 kati ya 930 waliofanya mtihani wa taifa kidato cha nne katika Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda wamefaulu.                                               Miongoni mwa wanafunzi waliohitimu mwaka 2015 katika shule ya Sekondari Mwangaza Manispaa ya Mpanda (PICHA NA Issack Gerald) Wanafunzi wa kike Mpanda waliohitimu mwaka 2015

RIPOTI YA PILI BWENI LA WAVULANA SHULE YA SEKONDARI SANNY YA KANISA LA (KKKT) ILIYOPO MKOANI KATAVI KUTEKETEA KWA MOTO HII HAPA,TATHMINI YA AWALI MALI ZA SHILINGI MILIONI 8.97 ZILITKETEA

Image
Na.Issack Gerald-Mpanda Shule ya sekondari ya Sanny inayomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) imesema kuwa thamani ya awali ya mali za wanafunzi zilizoteketea kwa moto katika bweni la wavulana ni Milioni nane laki tisa na sabini elfu.                                                    Mwonekano wa Sehemu ya bweni la wavulana lililoteketea kwa moto Shule ya Sekondari Sanny Tarehe 11.02.2016

JELA MIEZI 4 KWA WIZI WA SIMU MBILI

Na.Gervas Boniveture-Mpanda Mahakama ya mwanzo   mjini Mpanda imemhukumu mtu mmoja kwenda jela miezi minne au kulipa faini ya shilingi laki moja baada ya kupatikana na kosa la wizi wa simu mbili zenye   thamani ya shilingi laki mbili.