Posts

Showing posts from July 18, 2017

MIKOA 13 UKIWEMO MKOA WA KATAVI,IMEKAMILISHA ZOEZI LA KUORODHESHA KAYA KWA AJILI YA UTAFITI WA MAPATO NA MATUMIZI TANZANIA BARA-Julai 18,2017

KAZI ya kuorodhesha kaya kwa ajili ya Utafi ti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi Tanzania Bara wa Mwaka 2017/2018 inaendelea nchi nzima ikiwa ni maandalizi ya utafi ti huo unaotarajia kufanyika hivi karibuni.

WAKAZI KIJIJI CHA MILALA MANISPAA YA MPANDA WALIA NA TATIZO LA UKOSEFU WA MAJI SAFI NA SALAMA-Julai 18,2017

Wakazi wa kijiji cha milala kilichopo Kata ya Misunkumilo Manispaa ya Mpanda wanashindwa kufanya shughuli za maendeleo kutokana na kutumia muda mwingi kutafuta maji.

HOSPITALI YA MANISPAA YA MPANDA LAWAMANI KWA UNYANYASAJI DHIDI YA WAGONJWA WANAOHITAJI KUONGEZEWA DAMU-Julai 18,2017

Baadhi ya wananchi halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi ,wamelalamikia hosipitali ya wilaya ya Mpanda kutokana na kuwepo kwa vikwazo vingi kwa  wagonjwa wenye upungufu wa damu.

WAKAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA WATAKIWA KUWA WAVUMILIVU SUALA LA BOMOABOMOA KUPISHA RELI-Julai 18,2017

Image
Manispaa ya Tabora Wakazi wa halmashauri ya manispaa ya Tabora ambao nyumba zao zimewekewa alama kwa ajili ya kubomolewa wametakiwa kuwa wavumilivu wakati kamati iliyoundwa kufuatilia zoezi la kubomoa ili kupisha ujenzi wa reli ya kisasa kukamilisha kazi yake.

WAFANYABIASHARA NA WATEJA WAO WASIOPEANA RISITI BAADA YA MANUNUZI YA BIDHAA KUKIONA CHA MOTO KATAVI-Julai 18,2017

Image
MAMLAKA ya Mapato Tanzania TRA Mkoani Katavi ,imesema mteja natakayenunua bidhaa dukani bila kudai risti anakabiliwa na mashtaka ikiwa ni sambamba na kulipa faini hadi shilingi Milioni nne.

WASAFIRI WANAOTUMIA TRENI KUTOKA MPANDA-TABORA WAOMBA KUONGEZEWA MABEHEWA-Julai 18,2017

Image
Treni ikiwa kituo cha Mpanda(PICHA NA.Issack Gerald) Wakazi wa Halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameliomba shirika la Reli Tanzania kuwaongezea mabehewa ya abiria na mizigo ili wasafiri na kufika kwa wakati.

VITUO VYA MAFUTA 710 VYAFUNGWA KUHUSIANA NA MASHINE ZA EFDs-Julai 18,2017

Image
Moja ya vituo vya mafuta TANZANIA JUMLA ya vituo 710 vya mafuta vilikuwa vimefungwa nchi nzima tangu ianze kazi ya kuvikagua kuhakikisha kama vinatumia mashine za kieletroniki za malipo (EFDs).

RAIS MAGUFULI KUZINDUA MIRADI 9 YA MAENDELEO MIKOA YA KAGERA,KIGOMA,TABORA NA SINGIDA-Julai 18,2017

Image
Rais wa Tanzania DK.John Pombe Magufuli RAIS John Magufuli anatarajiwa kuzindua miradi tisa ya barabara na uwanja wa ndege ambayo itaunganisha mikoa ya Ukanda wa Kati na Magharibi nchini na nchi jirani kwa barabara za lami katika kuchochea harakati za maendeleo ya uchumi wa viwanda.