WAFANYABIASHARA NA WATEJA WAO WASIOPEANA RISITI BAADA YA MANUNUZI YA BIDHAA KUKIONA CHA MOTO KATAVI-Julai 18,2017

MAMLAKA ya Mapato Tanzania TRA Mkoani Katavi ,imesema mteja natakayenunua bidhaa dukani bila kudai risti anakabiliwa na mashtaka ikiwa ni sambamba na kulipa faini hadi shilingi Milioni nne.

Hayo yamebainishwa na Meneja wa Mamlaka hiyo Mkoani Katavi Bw.Michael Temu,wakati akizungumza na Mpanda Radio Ofisini Kwake.

Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli,imekuwa ikisisitiza kila anayenunua bidha adai risiti na nayeuza atoe risiti ili kuongeza mapato serikalini.
Kifungu cha sheria namba 38,kinawatia hatiani mnunuzi na muuzaji ikiwa watabainika hawakupeana risiti baada ya kuuziana bidhaa.

Habarika zaidi na P5TANZANIA.BLOGSPOT.COM

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA