Posts

Showing posts from April 12, 2016

MAHAKAMA YA WILAYA YA MPANDA YAFUTA HATI YA MASHTAKA YA WATU WAWLI KATI YA WATATU WALIOKUWA WAKITUHUMIWA KUIBA PIKIPIKI YENYE THAMANI YA SH.MIL.1.8

MAHAKAMA ya mwanzo mjini mpanda imefuta hati ya mashta ya watu wawili kati ya watatu waliokuwa wanakabiliwa na tuhuma za wizi wa pikipiki yenye thamani ya shingi milioni moja na laki nane.

KUMBUKUMBU YA MIAKA 32 KIFO CHA HAYATI EDWARD SOKOINE

Image
Edward Moringe Sokoine ( 1938 - 12 Aprili 1984 ) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania .