Posts

Showing posts from April 14, 2016

WAFANYABIASHARA WAIOMBA SERIKALI KUPANGA KODI NA FAINI INAYOENDANA NA BIASHARA ZAO

Wafanyabiasha wa mazao ya chakula   Mkoani Katavi wameiomba serikali kupanga kodi na faini kulingana na biashara   zao .

RAIS MAGUFULI A ATENGUA UTEUZI WA NDERUMAKI

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali (TSN) Bw. Gabriel Nderumaki.                                  

WAFANYABIASHARA MPANDA WAPEWA SIKU 21 KUHAMA MAENEO YASIYO RASMI KIBIASHARA

MKUU wa wilaya ya Mpanda Mh Paza Mwalima ametoa siku 21 kwa wafanyabishara wote wanaofanya shughuli za kiabiashara katika maeneo yasiyo rasimi kuondoka malamoja.