Posts

Showing posts from April 22, 2016

VIONGOZI SERIKALI ZA VIJIJI NA MITAA MANISPAA YA MPANDA KUANZA KULAMBA POSHO MWAKA WA FEDHA 2016/2017.

Mstahiki meya Manispaa ya Mpanda,Mh.Willium Philipo Mbogo ameliomba balaza la madiwani kuidhinisha mpango wa kuwapatia posho wenyeviti wa vijiji na mitaa kuanzia bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 unaotarajia kuanza mwezi Julai mwaka huu.

WITO WA MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA MPANDA KWA MADIWANI KUHUSU MADAWATI NA DOMPO LA KUTUPIA TAKA

Mh.Willium Philipo Mbogo   amewasisitiza madiwani kusimamia kwa dhati mchakato wa upatikanaji wa madawati   ili   ifikapo Mwezi Juni 2016   uwe umeamilika ili kutekeleza agizo la Rais John Pombe Magufuli kwa wakati mwafaka.

KILIO CHA WANANCHI WA MTAA WA KAMPUNI KUHUSU SHULE YA MSINGI NSAMBWE CHASIKIKA,WIKI IJAYO KUKABIDHIWA MIL.9 KUKAMILISHA UJENZI WA MADARASA.

Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,inatarajia kukabidhi shilingi milioni tisa kwa shule ya Msingi Nsambwe iliyopo kata ya Misunkumilo kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa madarasa mawili ya shule hiyo.