Posts

Showing posts from January 22, 2016

UDSM YAENDESHA KONGAMANO LA TAFAKURI YA UCHAUZI WA MWAKA 2015,MENGI YAIBULIWA.

Image
Na.Mwandishi wetu-Dar es salaam Watanzania wametakiwa kuacha ushabiki wa vyama vya siasa na badala yake wajikite kutatua matatizo ya kitaifa.                                                       Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Jajji Joseph Sinde Warioba

AFISA MTENDAJI WILAYANI MPANDA AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA

Na.Boniface Mpagape-Mpanda TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani Katavi, imemfikisha katika mahakama ya wilaya ya Mpanda   Afisa mtendaji wa mtaa wa Kawajense akikabiliwa na shtaka la kushawishi na kupokea rushwa ya shilingi elfu thelathini.

WANAFUNZI 1137 WATOKOMEA KUSIKOJULIKANA,AFISA ELIMU KUTANGAZA MSAKO NYUMBA KWA NYUMBA.

Na.Issack Gerald-Nkasi. WANAFUNZI wapatao 1137 kati ya 2257   hawajaripoti shule kuanza kidato cha kwanza mwaka huu katika Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa licha ya serikali kutoa elimu bure.