Posts

Showing posts from April 25, 2016

UTEUZI MAKATIBU TAWALA WAPYA WA JPM HAWA HAPA,WA KATAVI YUPO PALEPALE

Image
UTEUZI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 25 Aprili, 2016 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa 25 ya Tanzania Bara. Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa kati ya Makatibu tawala hao 10 ni wapya, 2 wamebadilishiwa vituo vya kazi na 13 wamebakisha katika vituo vyao vya sasa.                                         

ZIMAMOTO NA UOKOAJI KATAVI WAELEZA MIKAKATI KUPAMBANA NA MAJANGA YA MOTO

Na.Issack Gerald-Katavi JESHI la zimamoto Mkoa wa Katavi limedhamilia kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusiana na kujiahadhari na majanga ya moto.

WANNE MBARONI KATAVI KWA KUMILIKI SILAHA SMG,MWENZAO AFA KWA RISASI KATIKA MAJIBIZANO NA POLISI.

Na.Issack Gerald-Katavi Jeshi la Polisi Mkoani Katavi linawashikilia watu wanne wakazi wa kata ya Mishamo Wilayani Mpanda wakituhumiwa kumiliki silaha kinyume na sheria.