Posts

Showing posts from September 6, 2017

ZIMAMOTO MKOANI KATAVI NYUMBA KWA NYUMBA KUEPUSHA HATARI-Septemba 6,2017

Image
JESHI la zimamoto na uokoaji mkoani Katavi limesema linaanza oparesheni ya ukaguzi wa nyumba kwa nyumba  kubaini watu wenye tabia ya kuchimba vyoo au visima na kuacha bila kufukia  mashimo hayo  hali ambayo husababisha vifo vya watu wanapokuwa wametumbukia katika mashimo hayo.

TAARIFA MPYA KUHUSU UCHAGUZI WA KENYA-Septemba 6,2017

Image
Baada ya kiongozi wa upinzani Kenya Raila Odinga kutangaza kutoshiriki katika marudio ya Uchaguzi Mkuu mpaka Tume ya Uchaguzi ifanyiwe mabadiliko, sasa good news kwake ni kwamba, Tume hiyo imetangaza kundi la watu sita ambalo litasimamia uchaguzi huo.

VIONGOZI WANNE WA CUF WANAMUUNGA MKONO WAFARIKI DUNIA-Septemba 6,2017

Image
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Viongozi wanne wa Chama cha Wananchi CUF wanaomuunga mkono Profesa Ibrahim Lipumba wamefariki dunia baada ya msafara wao kupata ajali maeneo ya Ubenazomozi Mkoa wa Pwani.

MADAKTARI 25 WAGOMEA AJIRA ZA RAIS MAGUFULI-Septemba 6,2017

Image
Madktari 25 kati ya 258 wa Tanzania ambao walikidhi vigezo vya kwenda kufanyakazi Kenya wamekataa ajira zilizotolewa na Rais Magufuli kuwa wafanye kazi hapahapa nchini kutokana na safari yao ya Kenya kuhairishwa.

LEO WANAFUNZI WA DARASA LA SABA WANAANZA KUFANYA MTIHANI WA KUHITIMU ELIMU YA MSINGI-Septemba 6,2017

Image
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde Wanafunzi 917,072 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi leo na kesho (Septemba  7).