Posts

Showing posts from July, 2016

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO LAFANYA KIKAO CHA MWISHO KUHITIMISHA MWAKA WA FEDHA 2015/2016,MWENYEKITI WA HALMASHAURI ATOA NENO KWA MADIWANI.

Na.Judica Schone-Nsimbo Madiwani wa baraza la Madiwani Halmshauri ya Wilaya ya Nsimbo na viongozi wa halmsahauri hiyo waliopewa dhamana ya kukusanya mapato katika halmashauri hiyo,wametakiwa kusimamia zoezi la ukuasanyaji wa mapato ili kutumika kwa mujibu wa bajeti.

WAZIRI MASHA NA WENZAKE 9 WASHINDA KESI MAHAKAMA YA WILAYA YA MPANDA,KATIBU CHADEMA WILAYA YA MPANDA ASISITIZA KUANZISHA MASHTAKA DHIDI YA WALIOWASUMBUA.

Image
NA.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Aliyecchuchumaa chini ni Aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh.Lawreance Masha(PICHA NA.Issack Gerald Katavi Mahakama ya Wilaya ya Mpanda jana imewaachia huru washtakiwa 10 akiwemo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana Mwanza Mh.Lawrence Kego Masha baada ya mahakama kutowakuta na hatia katika makosa waliyokuwa wakishtakiwa.             

LEO WAZIRI MKUU PINDA MGENI RASMI TUZO ZA WALIMU KATAVI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo        Leo Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda inatarajia kutoa tuzo za kuwapongeza walimu wa shule za msingi zilizopo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi baada ya kufaulisha Wanafunzi kwa ufaulu wa asilimia 90 hadi 97 kwa mwaka 2014 na 2015 na kushika nafasi ya kwanza kitaifa kwa miaka miwili mfululizo kwa kufaulisha wanafunzi. Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania Mh.Mizengo Kayanza Peter Pinda(PICHA NA.Issack Gerald    

WAFANYABIASHARA WAILALAMIKIA SERIKALI KUWAZUIA KUTEKELEZA HAPA KAZI TU,WANGOA MABANGO USIKU WA MANANE WAKIPINGA KUFUKUZWA ENEO LA KIBIASHARA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Wafanyabiashara wadogo waliopo genge la kufanyia biashara lililopo Mtaa na Kata ya Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamelalamikia uongozi wa serikali ya Mtaa,kata ya Mpanda Hotel na Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda kwa kutowapatia eneo maalumu la kufanyia biashara huku wakifukuzwa katika kila eneo wanalokwenda kufanyia biasahara. Bango lililong'olewa na kutupwa kusikojulikana katika genge la biashara lililopo mtaa na kata ya Mpanda hotel lililopigwa marufuku(PICHA NA.Issack Gerald)                                   Wafanyabiasahara wadogo wakiwa katika genge wakiuza bidhaa zao katika genge lililopigwa marufuku(PICHA NA.Issack Gerald) Genge jipya eneo la mtaa wa  Mpanda ana Kata ya Mpanda Hotel lililopigwa marufuku(PICHA NA.Issack Gerald)                          

MIRADI 71 ILIZINDULIWA NA MWENGE WA UHURU MKOANI KATAVI

Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Jumla ya Miradi 71 ya maendeleo ilizinduliwa katika Mkoa wa Katavi huku baadhi ya miradi hiyo ikiwa katika sekta ya elimu,kupambana na rushwa,ujenzi wa Miundombinu ya barabara na afya.

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA MKOANI WAKATI WA HAFLA YA KUPOKEA MADAWATI UWANJA WA SHULE YA MSINGI KASHAULILI

Image
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jenerali Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga katika viwanja vya shule ya msingi Kashaulili akikabidhi msaada wa madawati 327(146 Mbunge viti maalumu Mh.Anna Lupembe na 181 mbunge Mpanda Mjini Mh.Sebastian Kapufi).Pia Mbunge Anna Lupembe alitoa msaada wa Shilingi Milioni 4 kwa vikundi 40 vya wajasiliamali wanawake Manispaa ya Mpanda na Baiskeli tatu za walemavu.Jumla Mh.Lupembe alichangia vitu vya thamani ya milioni 10 ukiondoa milioni 4 za wajasiliamali(PICHA ZOTE NA.Issack Gerald) Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jeneral Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga akiwa mgeni rasmi akikabidhiwa madawati 327 kutoka kwa wabunge Mh.Anna Lupembe(viti maalumu Katavi) na Sebastian Simon Kapufi(Mbunge Mpanda Mjini),pia mabati yenye thamani ya shilingi milioni mbili.Wa kwanza Kulia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mpanda Mh.Willium Mbogo na wakwanza kushoto ni Mh.Anna Lupembe mbunge viti maalumu Katavi(PICHA NA.Issack Gerald)Julai 26,2016 Wa pili kutoka Kushoto(m

ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 70 CHACHANGWA UANZISHWAJI BENKI YA WANANCHI KATAVI,WAZIRI MKUU PINDA APIGIA DEBE WANAWAKE KUPEWA KIPAUMBELE KATIKA BENKI HIYO.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Zaidi ya shilingi Milioni 70 zimechangwa na wadau wa maendeleo Mkoani Katavi kwa ajili ya kuanzisha BENKI YA WANANCHI MKOANI KATAVI. Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania wa awamu ya NNE(wa kwanza kulia mwenye shati nyeupe) akiwa katika mkutano wa uanzishwaji wa benki ya wananchi Katavi(PICHA NA.Issack Gerald  

BALAZA LA MADIWANI LAOMBA SHERIA ZA ZIMAMOTO KUPITIWA UPYA,MBUNGE VITI MAALUMU PAMOJA NA MAMBO MENGINE KULISEMA BUNGENI.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi BARAZA la madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi limeliomba jeshi la zimamoto na uokoaji   Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi kupitia upya sheria inayomtaka mwananchi kuchangia kiasi kikubwa cha fedha ukilinganisha na uwezo wa mwananchi kumudu gharama hizo kwa mwaka. Wataalamu mbalimbali katika Manispaa ya Mpanda wakishiriki kikao cha mwaka cha Baraza la madiwani Manispaa ya Mpanda(PICHA NA.Issack Gerald)

MKOA WA KATAVI KUANZISHA BENKI YA WANANCHI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Mkoa wa Katavi umepanga kuanzisha benki ya wananchi kwa ajili kurahisisha na kuharakisha maendeleo ya wakazi wa Mkoa wa Katavi. Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jeneral Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake (hawapo pichani) kuhusu uanzishwaji wa benki ya wananchi(PICHA NA.Issack Gerald) Mwenyekiti wa kamati ya Waratibu wa Benki ya wananchi Mkoa wa Katavi                              

MKUU WA MKOA WA KATAVI KUZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU UANZISHWAJI BENKI YA WANANCHI.

Image
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jenerali Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga   leo anataraji kukutana na kuzungumza na vyombo vy ahabari ili kueleza mikakati ya uanzishwaji wa benki ya Wananchi Mkoani Katavi. Ofisi za mkuu wa Mkoa(PICHA NA.Issack Gerald

MBUNGE VITI MAALUMU MPANDA AMWAGA MSAADA WA FEDHA NA BAISKEL KWA WANAWAKE

Image
Wanawake wajasiliamali wakiwa katika mkutano na mbunge viti maalumu Mh.Anna Lupembe(PICHA NA.Issack Gerald)                                         Mbunge viti maalumu akizungumza na wanawake wajasiliamali katika viwanja vya shule ya Msingi Kashato(PICHA NA.Issack Gerald)                                       MBUNGE wa Wakati huo huo Mh.Anna Lupembe amekabidhi Shilingi milioni 4 kwa vikundi 40 kati ya 80 vya wanawake   alivyoviunda na kuvipatia elimu ya ujasiliamali Aprili mwaka huu.

MANISPAA YA MPANDA 2016 YAPANGA KUFAULISHA WANAFUNZI KWA 98% KWA SHULE ZA MSINGI

Image
MANISPAA ya Mpanda iliyopo Mkoani Katavi imepanga kufaulisha wanafunzi wa shule za msingi kwa asilimia 98. Baadhi ya wanafunzi Shule ya Msingi Nsemulwa Manispaa ya Mpanda wakiwa darasani(PICHA NA.Issack Gerald)                                

MKOA WA KATAVI WABAKIZA MADAWATI 2108 KUMALIZA TATIZO LA MADAWATI SHULENI,MKUU WA MKOA ASEMA KIKOMO CHA TATIZO JULAI 31 MWAKA HUU.

Image
Mkoa wa Katavi umekamilisha madawati 13915 kati ya madawati 15452 yanayotakiwa kukamilisha idadi ya madawati yatakayokuwa yakikidhi idadi ya wanafunzi kwa shule za msingi ambapo mpaka sasa uhaba wa madawati kwa Shule za Msingi Mkoani ni madawati 1537 . Sehemu ya madawati 327 yaliyokabidhiwa na wabunge Manispaa ya Mpanda(PICHA NA.Issack Gerald)

CCM ANAYOKABIDHIWA MAGUFULI ILIANZA HIVI

Image
LEO Julai 23,Rais wa awamu ya Tano wa Tanzania Rais Dkt.John Pombe Magufuli anatarajia kupokea uenyekiti wa kukiongoza Chama cha Mapinduzi CCM)

HABARI WIKI HII KUTOKA IKULU YA RAIS

1.AGIZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza viongozi wa Jeshi la Polisi Tanzania kuwaondoa watumishi wote wasiokuwa askari polisi na ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya ukiukwaji wa taratibu na ufujaji wa fedha za umma ili kulinda heshima, nidhamu na uadilifu ndani ya jeshi hilo.

MWENGE WA UHURU KUANZA MBIO ZAKE WILAYANI KIBONDO

Image
Leo Mwenge wa uhuru unaanza mbio zake Wilayani Kibondo mkoani Kigoma. Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2016 Bw.George Mbijima(PICHA NA Issack Gerald)                                 

WAWILI WAJINYONGA WILAYANI MPANDA KATIKA MATUKIO MAWILI TOFAUTI

WATU wawili Mkoani Katavi   wamefariki dunia kwa nyakati tofauti kwa kujinyonga.

MKUU WA WILAYA YA MLELE AJITAMBULISHA KWA WATUMISHI HALMASHAURI YA WILAYA YA MLELE

MKUU wa wilaya ya mlele mkoani Katavi Bi.Recho Kasanda ametoa agizo kwa watumishi wa wilaya hiyo kufanya kazi wa kuzingatia taratibu na sheria.

BODABODA KATAVI WAOMBA ELIMU YA UDEREVA NA MTAMBO KWA KUKATA LESENI

Image
WAENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda mkoani Katavi,wameiomba serikali kuwapatia elimu ya udereva   pamoja na kupatiwa   mtambo wa kukata reseni za udereva ili kupunguza ajali za barabarani .

EKARI 1800 ZAMILIKIWA NA MWANANCHI MMOJA,WANANCHI WAHAHA MAHALI PA KULIMA WAIOMBA SERIKALI WILAYANI TANGANYIKA KUINGILIA KATI.

WANANCHI wa kijiji cha Kamilala   kata ya Katuma tarafa ya Mwese wilayani Tanganyika   mkoani Katavi,wameiomba serikali kuingilia kati mgogoro wa shamba lililochukuliwa   na mtu moja aliyefahamika kwa jina la Kiyondo zaidi ya ekari 1800 huku wananchi wakiwa hawana maeneo ya kulima .

CHANGAMOTO LUKUKI ZAENDELEA KUKWAMISHA MAENDELEO YA WANANCHI KATA YA ITENKA.

Wakazi wa kata ya Itenka iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Wilayani Mlele Mkoani Katavi,wameiomba Serikali ya halmshauri ya Wilaya ya Nsimbo kutatua changamoto za miundombinu ya barabara kuanzia Mpanda Mjini hadi Itenka.

CWT KATAVI KUPIGANIA HAKI ZA WALIMU WANAWAKE

CHAMA cha walimu CWT mkoani katavi kimesema kitahakikisha kinapigania maslahi ya walimu wanawake makazini kwa sababu ya mchango kubwa walionao katika jamii.

MIL.52 KUTUMIKA KUJENGA VYUMBA VYA SHULE YA MSINGI KASEKESE

Image
SHULE ya msingi kasekese iliyopo kata ya kasekese wilaya mpya ya Tanganyika mkoani katavi wametengewa fedha kiasi cha shillingi milion 52 kwa ajili ya kutatua changamoto ya vyumba vya madarasa. Kauli hiyo imetolewa na mbunge wa mpanda   vijijini Mh.Suleman Kakoso baada ya kutembelea    kijijini hapo kwa lengo la kuwashukuru wananchi kwa kumchagua. Baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Kasekese kata ya Kasekese(PICHA NA Issack Gerald)                                                          

SIKILIZA SAUTI YA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWAAPISHA WAKURUGENZI HALMASHAURI ZA WILAYA,MIJI,MANISPAA NA MAJIJI JULAI 12,2016

WAKATI Rais John Pombe Magufuli akiwaapisha wakurugenzi alitamka haya                                                                             

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AZINDUA MPANGO WA UGAWAJI MADAWATI,MKOA WA KATAVI KATIKA MGAO AWAMU YA KWANZA

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amezindua mpango wa ugawaji wa madawati yanayotengenezwa kutokana na fedha zilizotolewa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kubana matumizi katika bajeti yake.                          

WAKAZI KIJIJI CHA KAKESE MANISPAA YA MPANDA WAELMISHWA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI

Image
WAKAZI wa kijiji cha Mbugani kata ya Kakese Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameaswa kutunza vyanzo vya maji vilivyopo bonde la Mto Mpanda. Picha na p5 tanzania                                                     Picha na P5 tanzania                                                    

MIRADI 9 YAZINDULIWA NA MWENGE WA UHURU MANISPAA YA MPANDA

Image
ZAIDI ya miradi 9 ikiwemo Stendi Mpya ya kisasa ya mabasi katika Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imezinduliwa leo. Vijana wakimbiza mwenge wa uhuru(PICHA NA Issack Gerald)                                       

MWENGE WA UHURU WAHITIMISHA MBIYO ZAKE WILAYANI MLELE WAZINDUA MIRADI,WAPOKELEWA MANISPAA YA MPANDA

Image
WAKAZI wa tarafa ya Inyonga Wilayani Mlele Mkoani Katavi,wametakiwa kutoziharibu barabara za mitaani katika tarafa hiyo zilizotengenezwa kwa kiwango cha lami.                              

POLISI WAKAMATA PEMBE ZA NDOVU 666.

Image
Polisi wa Tanzania wamekamata pembe 666 za ndovu zenye uzani wa tani 1.2 zenye thamani ya shilingi biloni 4.6 pesa za Tanzania sawa na dola milioni 1.2.                            

AHUKUMIWA MIEZI 9 AKIDAIWA KUTOROKA AKIWA CHINI YA ULINZI WA JESHI LA POLISI WILAYANI MPANDA

Image
Mahakama ya mwanzo mjini Mpanda imemhukumu mtu mmoja mkazi wa kata ya Misunkumilo kifungo cha miezi tisa jela kwa kosa la kutoroka akiwa chini ya ulinzi wa askari polisi.                    

WALIMU NA WATENDAJI WA KATA WILAYANI KIBONDO WATAKIWA KUKOMESHA UTORO WA WANAFUNZI

Image
Walimu wa shule za msingi na watendaji wa kata Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma amewataka kuhakikisha kuwa wanafunzi wanaacha utoro na kuhudhuria shuleni bila kukosa. Moja ya shule zilizopo wilayani Kibondo Mkoani Kigoma                                 

MANISPAA YA MPANDA YAANDAMWA ZAIDI NA MAAMBUKIZI YA VVU,KATAVI NAYO NDANI YA MIKOA 10 BORA YENYE VVU NA UKIMWI

Image
Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imeendelea kuwa na maambukizi makubwa ya Virusi vya Ukimwi na kuchangia Mkoa wa Katavi kuendelea kuwa miongoni mwa mikoa 10 ya Tanzania yenye maambukizi hayo.                                             

WAKAZI KATAVI WAENDELEA KUCHAMBUA UTEUZI WAKURUGENZI WAPYA WAWASHAURI WAKURUGENZI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA ‘’HAPA KAZI TU’’ IPASAVYO

Image
Wakazi Mkoani Katavi wamesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uteuzi wa wakurugenzi alioufanya Julai 7 mwaka huu ni mzuri ikiwa walioteuliwa watafanya kazi kwa kuzingatia kiapo cha maadili na utumishi wa umma wanachoapa kabla ya kuanza kazi. Rais Dkt.John Pombe Magufuli                                                   

NEC YAKABIDHI RIPOTI YA TAARIFA YA UCHAGUZI KWA SERIKALI YA MKOA WA KATAVI

Image
Tume ya taifa ya uchaguzi NEC imeikabidhi serikali ya Mkoa wa Katavi ripoti ya taarifa ya uchaguzi wa udiwani,ubunge na urais uliofanyia mwaka jana Oktoba 25.                                             

MWENGE WA UHURU KUWASILI KESHO MKOANI KATAVI,WANAKATAVI WAASWA KUDUMISHA AMANI

Image
WANANCHI mkoani Katavi wametakiwa kudumisha amani na utulivu katika   kipindi hiki ambacho wanatarajia kupokea mwenge wa uhuru.                                                  

WAZIRI MKUU WA INDIA KUWASILI LEO TANZANIA KUANZA ZIARA,SEKTA ZA VIWANDA,MAJI,ELIMU,SAYANSI NA TECHNOLOJIA KUPEWA KIPAUMBELE

Image
WAZIRI Mkuu wa India, Narendra Modi anawasili leo nchini kwa ajili ya ziara ya kitaifa ya siku mbili kwa lengo la kudumisha ushirikiano katika sekta mbalimbali kati ya nchi hizo mbili. Waziri Mkuu wa India Narendra Modi