Posts

Showing posts from March 4, 2016

WANAWAKE KATAVI WASHAURIWA KUUNDA VIKUNDI ILI KUPATIWA MISAADA

Na.Meshack Ngumba-Katavi Wanawake Mkoani Katavi wameshauriwa Kujiunga na Vikundi ili kupata fursa ya Kupewa   misaada itakayowasaidia Kujikwamua Kimaisha kwa kuanzisha Miradi mbalimbali ya Maendeleo.

MBARONI KWA KUKAMATWA NA MENO YA TEMBO KATAVI

Image
Na.Issack Gerald-Mlele Jeshi la Polisi Wilayani Mlele Mkoani Katavi linamshikilia Bw. Robert Nyakie(40) mkazi wa kijiji na Kata ya kanoge barabara ya tatu kwa tuhuma ya kukutwa na meno ya tembo kinyume na sheria.                                         ACP Rashid Mohamed,Kamanda Msaidizi wa Polisi Mkoani Katavi (PICHA NA.Issack Gerald)                                               Vipande vya meno ya tembo vikiwa Mezani(PICHA NA.Issack Gerald) Mtuhumiwa Bw.Robert Nyakie akiwa chini ya ulinzi (PICHA NA.Issack Gerald Machi 04)