Posts

Showing posts from June 18, 2016

HUYU NAYE WIKI HII KADAKWA NA MENO MAWILI YA TEMBO WILAYANI MLELE,MWINGINE NAYE AIBA MPUNGA SHAMBANI AKAMATWA NA WANANCHI ACHOMWA MOTO HADI KIFO.

JUNI 14 mwaka huu,Jeshi la Polisi lilimkamata Oscar Pius Mizengo (30) mkazi wa Kitongoji cha Inyagala - Ikuba Kijiji cha Nyakasi kata ya Usevya Tarafa ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi akiwa na meno mawili ya tembo yenye uzito wa kilogramu 32 moja likiwa na urefu wa sentimita 150 na lingine 148 cm ambayo thamani yake ni Tsh 30,000,000/= milioni thelasini sawa na tembo mmoja aliyeuwawa.

WIKI HII MAMA WA WATU JERA MIEZI SITA KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA GONGO

Mahakama ya wilaya mjini Mpanda imemhukumu mtu mmoja kifungo cha miezi sita jera au kulipa faini kiasi cha shilingi laki moja   kwa kosa la kukutwa na pombe haramu.

KUHUSU UCHANGIAJI DAMU SALAMA WIKI HII MKOANI KATAVI,SERIKALI YA MKOA YATUPIWA LAWAMA KUTOUNGA MKOANO ZOEZI HILO

Juni 14 wiki hii ilikuwa ni kilele cha Siku ya uchangiaji damu salama kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji huduma ya kuongezewa damu. Miongoni mwa wahitaji wakubwa wa damu ni pamoja na mama wajawazito ,watoto wenye umri chini ya miaka    5 pamoja na wagonjwa mbali mbali wenye uhitaji wa huduma hiyo.