Posts

Showing posts from August 30, 2016

WAFANYABIASAHARA MANISPAA YA MPANDA WAPEWA SIKU 6 KUONDOKA MASOKO YASIYO RASMI KABLA YA NGUVU KUTUMIKA.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Mpanda WANANCHI wanaofanya biashara katika masoko yasiyo rasmi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,wametakiwa kuondoka na bidhaa zao wenyewe kwa hiari kabla ya Septemba 5 mwaka huu kuondolewa kwa nguvu. Katika Picha Mkurugenzi Mtendaji Manispaa ya Mpanda Bw.Michael Nzyungu(PICHA NA.Issack Gerald) Miongoni mwa wafanyabishara wanaopigwa marufuku soko lisilo rasmi lililopo Ujenzi Machinjioni Mpanda hotel.                                                    

MKUU WA WILAYA TANGANYIKA AONYA WATAKAOANDAMANA OPARESHENI UKUTA SEPTEMBA MOSI,ASEMA OPARESHENI UKUTA IWE NI KUJENGA MADARASA,KUTENGENEZA MADAWATI NA SHUGHULI NYINGINE ZA MAENDELEO.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Tanganyika Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi Saleh Mbwana Mhando,ametoa onyo kwa wananchi na wanachama wa vyama vya siasa watakaofanya maandamano ya Opareshen Ukuta katika Wilaya hiyo yanayotarajia kuanza Septemba mosi.  Mkuu wa Wilaya ya Tanganyiika Saleh Mhando