Posts

Showing posts from August 7, 2017

SHIRIKA LA INTERNATIONAL AID SERVICES LATOA MSAADA WA MAFUTA KWA AJILI YA WENYE ULEMAVU WA NGOZI-Agosti 8,2017

SHIRIKA la International Aid Services(IAS) limetoa msaada wa mafuta yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa ngozi Albino ili kuzuia mionzi mikali ya jua inayochoma ngozi zao.

MADEREVA BAJAJI WILAYANI MPANDA MKOANI KATAVI WAGOMA,SUMATRA WATOA TAMKO KALI WASISITIZA HAKUNA BAJAJI KUPITA BARABARA KUU KUANZIA KESHO AGOSTI 8,2017

Image
WAENDESHA pikipiki za tairi tatu maarufu kama bajaji Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,leo wamegoma kutoa huduma ya usafiri wakilalamikia hatua ya Mamlaka ya Usafiri wa Majini na Nchi kavu SUMATRA kuwazuia kutumia barabara kuu zinazotoka mpanda mjini na kusafirisha abiria kupitia barabara kuu.