Posts

Showing posts from July 19, 2016

CHANGAMOTO LUKUKI ZAENDELEA KUKWAMISHA MAENDELEO YA WANANCHI KATA YA ITENKA.

Wakazi wa kata ya Itenka iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Wilayani Mlele Mkoani Katavi,wameiomba Serikali ya halmshauri ya Wilaya ya Nsimbo kutatua changamoto za miundombinu ya barabara kuanzia Mpanda Mjini hadi Itenka.

CWT KATAVI KUPIGANIA HAKI ZA WALIMU WANAWAKE

CHAMA cha walimu CWT mkoani katavi kimesema kitahakikisha kinapigania maslahi ya walimu wanawake makazini kwa sababu ya mchango kubwa walionao katika jamii.

MIL.52 KUTUMIKA KUJENGA VYUMBA VYA SHULE YA MSINGI KASEKESE

Image
SHULE ya msingi kasekese iliyopo kata ya kasekese wilaya mpya ya Tanganyika mkoani katavi wametengewa fedha kiasi cha shillingi milion 52 kwa ajili ya kutatua changamoto ya vyumba vya madarasa. Kauli hiyo imetolewa na mbunge wa mpanda   vijijini Mh.Suleman Kakoso baada ya kutembelea    kijijini hapo kwa lengo la kuwashukuru wananchi kwa kumchagua. Baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Kasekese kata ya Kasekese(PICHA NA Issack Gerald)