Posts

Showing posts from July 28, 2016

WAZIRI MASHA NA WENZAKE 9 WASHINDA KESI MAHAKAMA YA WILAYA YA MPANDA,KATIBU CHADEMA WILAYA YA MPANDA ASISITIZA KUANZISHA MASHTAKA DHIDI YA WALIOWASUMBUA.

Image
NA.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Aliyecchuchumaa chini ni Aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh.Lawreance Masha(PICHA NA.Issack Gerald Katavi Mahakama ya Wilaya ya Mpanda jana imewaachia huru washtakiwa 10 akiwemo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana Mwanza Mh.Lawrence Kego Masha baada ya mahakama kutowakuta na hatia katika makosa waliyokuwa wakishtakiwa.             

LEO WAZIRI MKUU PINDA MGENI RASMI TUZO ZA WALIMU KATAVI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo        Leo Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda inatarajia kutoa tuzo za kuwapongeza walimu wa shule za msingi zilizopo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi baada ya kufaulisha Wanafunzi kwa ufaulu wa asilimia 90 hadi 97 kwa mwaka 2014 na 2015 na kushika nafasi ya kwanza kitaifa kwa miaka miwili mfululizo kwa kufaulisha wanafunzi. Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania Mh.Mizengo Kayanza Peter Pinda(PICHA NA.Issack Gerald    

WAFANYABIASHARA WAILALAMIKIA SERIKALI KUWAZUIA KUTEKELEZA HAPA KAZI TU,WANGOA MABANGO USIKU WA MANANE WAKIPINGA KUFUKUZWA ENEO LA KIBIASHARA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Wafanyabiashara wadogo waliopo genge la kufanyia biashara lililopo Mtaa na Kata ya Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamelalamikia uongozi wa serikali ya Mtaa,kata ya Mpanda Hotel na Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda kwa kutowapatia eneo maalumu la kufanyia biashara huku wakifukuzwa katika kila eneo wanalokwenda kufanyia biasahara. Bango lililong'olewa na kutupwa kusikojulikana katika genge la biashara lililopo mtaa na kata ya Mpanda hotel lililopigwa marufuku(PICHA NA.Issack Gerald)                                   Wafanyabiasahara wadogo wakiwa katika genge wakiuza bidhaa zao katika genge lililopigwa marufuku(PICHA NA.Issack Gerald) Genge jipya eneo la mtaa wa  Mpanda ana Kata ya Mpanda Hotel lililopigwa marufuku(PICHA NA.Issack Gerald)                          

MIRADI 71 ILIZINDULIWA NA MWENGE WA UHURU MKOANI KATAVI

Na.Issack Gerald Bathromeo-Katavi Jumla ya Miradi 71 ya maendeleo ilizinduliwa katika Mkoa wa Katavi huku baadhi ya miradi hiyo ikiwa katika sekta ya elimu,kupambana na rushwa,ujenzi wa Miundombinu ya barabara na afya.